TANGAZO


Tuesday, October 30, 2012

TMEA yatoa msaada wa kompyuta kwa TANGO

 Mkurugenzi Mtendaji wa Muungano wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali Tanzania (TANGO), Ngunga Tepani, akiangalia moja ya kompyuta, zilizotolewa pamoja na skana, printa na king’amuzi cha inteneti, na TradeMark East Afrika (TMEA), Dar es Salaam leo. Kushoto ni Mkurugenzi Mkazi wa TMEA, Paulina Elago. 
Mkurugenzi Mkazi wa TMEA, Paulina Elago, akimkabidhi moja ya scana, zilizotolewa pamoja na kompyuta, printa na king'amuzi cha internet na TMEA kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Muungano wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali Tanzania (TANGO), Ngunga Tepani kwa ajili ya muungano huo, Dar es Salaam leo. 
 Mkurugenzi Mtendaji wa Muungano wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali Tanzania (TANGO), Ngunga Tepani, akizungumza katika hafla ya makabidhiano hayo. Kulia ni  Mkurugenzi Mkazi wa TMEA, Paulina Elago. (Picha zote kwa hisani ya Habari Mseto Blog)

No comments:

Post a Comment