TANGAZO


Tuesday, October 23, 2012

Rais Kikwete afungua Mkutano Mkuu wa nane wa UVCCM, mjini Dodoma

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Mwenyekiti anayemaliza muda wake wa Umoja wa Vijana wa chama hicho (UVCCM), Benno Malisa alipowasili ukumbi wa Chuo cha Mipango, mjini Dodoma kufungua Mkutano Mkuu wa nane wa Jumuiya hiyo ya vijana wa chama tawala leo Oktoba 23, 2012.

Nderemo baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Jakaya Mrisho Kikwete (wa tatu kushoto), kuwasili ukumbi wa Chuo cha Mipango mjini Dodoma kufungua Mkutano Mkuu wa nane wa Jumuiya hiyo ya vijana wa chama tawala leo Oktoba 23, 2012.

Bendi ya muziki ya Vijana Jazz Orchestra 'Wana Pambamoto' ikitumbuiza kwa wimbo maalumu katika ukumbi wa Chuo cha Mipango mjini Dodoma ikiwa ni shamra ya kufungua Mkutano Mkuu wa nane wa Jumuiya hiyo ya vijana wa chama tawala leo Oktoba 23, 2012.

Meza Kuu na sehemu za wajumbe katika ukumbi wa Chuo cha Mipango mjini Dodoma wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa nane wa Jumuiya hiyo ya vijana wa chama tawala leo Oktoba 23, 2012.

Meza Kuu na sehemu ya wajumbe katika ukumbi wa Chuo cha Mipango mjini Dodoma, wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa nane wa Jumuiya hiyo ya vijana ya chama tawala leo, Oktoba 23, 2012.

Wanachama wa Umoja wa Vijana kutoka nchi rafiki mbalimbali wakiwa kwenye mkutano huo. 


Mwenyekiti anayemaliza muda wake wa UVCCM, Benno Malisa akihutubia katika  ukumbi wa Chuo cha Mipango mjini Dodoma kabla ya Rais Jakaya kikwete kuufungua Mkutano Mkuu wa nane wa Jumuiya hiyo ya vijana wa chama tawala leo Oktoba 23, 2012.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea zawadi kutoka kwa  Mwenyekiti anayemaliza muda wake wa UVCCM, Benno Malisa katika  ukumbi wa Chuo cha Mipango mjini Dodoma kabla ya kufungua Mkutano Mkuu wa nane wa Jumuiya hiyo ya vijana wa chama tawala leo Oktoba 23, 2012.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua mkutano huo.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua mkutano huo.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua mkutano huo.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagwa na wajumbe baada ya kuufungua mkutano huo.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagwa na wajumbe baada ya kuufungua mkutano huo.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipozi na viongozi wa UVCCM pamoja na ujumbe wa viongozi wa Jumuiya za Vijana toka nchi mbalimbali marafiki.


Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipozi na viongozi wa Chipukizi wa  UVCCM. (Picha zote na Ikulu)

No comments:

Post a Comment