TANGAZO


Thursday, October 4, 2012

Balozi wa Vatican nchini afanya mazungumzo na Rais Dk. Shein

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, akifuatana na Balozi wa Vatican  nchini Tanzania, Francisco Mantecillo Padilla, alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kujitambulisha kwa Rais leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Balozi wa Vatican nchini Tanzania, Francisco Mantecillo Padilla, alipofika Ikulu Mjini Zanzibar  kujitambulisha kwa Rais leo. (Picha na Ramadhan
Othman, Ikulu)

No comments:

Post a Comment