TANGAZO


Friday, August 10, 2012

Rais Jakaya Kikwete, ashiriki msiba, mazishi ya Rais wa Ghana


  Jukwaa Kuu katika uwanja wa Independence Square zilikofanyika Shughuli mbalimbali za  mazishi ya aliyekuwa Rais wa Ghana Profesa John Evans Atta Mills, jijini Accra leo Agosti 10, 2012.

  Shughuli mbalimbali za  mazishi ya aliyekuwa Rais wa Ghana Profesa John Evans Atta Mills katika uwanja wa Independence Square jijini Accra leo Agosti 10, 2012.

Askari wa vikosi mbalimbali vya jeshi la Ghana, wakiwa kazini wakati wa Shughuli mbalimbali za  mazishi ya aliyekuwa Rais wa nchi hiyo, Profesa John Evans Atta Mills katika Uwanja wa Independence Square jijini Accra leo Agosti 10, 2012.

Askari wa vikosi mbalimbali vya jeshi la Ghana, wakiwa wamelibeba jenenza lililowekwa mwili wa aliyekuwa Rais wa nchi hiyo, Profesa John Evans Atta Mills katika Uwanja wa Independence Square jijini Accra leo Agosti 10, 2012.

Gari la jeshi la Ghana, likivuta jenenza lililowekwa mwili wa aliyekuwa Rais wa nchi hiyo, Profesa John Evans Atta Mills katika Uwanja wa Independence Square jijini Accra leo Agosti 10, 2012.

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete, akiwa na viongozi wenzake wa nchi mbalimbali baada ya shughuli ya mazishi ya Rais John Evans Atta Mills wa Ghana jijini Accra leo Agosti 10, 2012.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete, akiwa na viongozi wenzake wa nchi mbalimbali wakiweka saini vitabu vya maombolezo, baada ya shughuli ya mazishi ya Rais John Evans Atta Mills wa Ghana jijini Accra leo Agosti 10, 2012.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete (kulia), akiwa na viongozi wenzake wa nchi mbalimbali  baada ya shughuli ya mazishi ya Rais John Evans Atta Mills wa Ghana jijini Accra leo Agosti 10, 2012.

  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo wakati shughuli ya mazishi ya Rais John Evans Atta Mills wa Ghana katika ukumbi wa Mikutano wa Ghana jijini Accra leo Agosti 10, 2012.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa heshima kwa aliyekuwa Rais wa Ghana Marehemu Profesa John Evans Atta Mills katika ukumbi wa Mikutano wa Ghana jijini Accra leo Agosti 10, 2012. (Picha zote na Ikulu)

No comments:

Post a Comment