TANGAZO


Sunday, May 20, 2012

Zungu azungumza na wapigakura wake, Kata ya Ilala

Mmoja wa wakazi wa Jimbo la Ilala, Phillipo Mbene, akiztoa dukuduku lake mbele ya Mbung wa Jimbo hilo, Mussa Azzan Vungu (hayupo pichani), wakati Mbunge huyo alipokuwa akizungumza na wapigakura wake wa Kata ya Ilala, Dar es Salaam, wakati alipofika kwenye kata hiyo kwa ajili ya kuwashukuru na kuwasikiliza matatizo yanayowakabili leo. (Picha zote na Kassim Mbarouk)
<><> <><> <><> <><> <><> <><>
Mbunge wa Jimbo la Ilala, Mussa Azzan 'Zungu', akizungumza na wapigakura wake wa Kata ya Ilala, Dar es Salaam leo, wakati alipofika kwenye kata hiyo kwa ajili ya kuwashukuru na kuwasikiliza matatizo yanayowakabili leo. Kulia ni Diwani wa Kata hiyo, Edison Fungo na kushoto ni Mwenyekiti wa Mtaa wa Kasulu Situ Mwasa
Baadhi ya wananchi wa Jimbo la Ilala, Kata ya Ilala, wakimsikiliza Mbunge wao, Mussa Azzan 'Zungu', wakati alipofikahapo wa ajili ya kuwashukuru na kuwasikiliza matatizo yao yanayowakabili.

 


Baadhi ya wananchi wa Jimbo la Ilala, Kata ya Ilala, wakimsikiliza Mbunge wao, Mussa Azaan 'Zungu', wakati alipofikahapo kwa ajili ya kuwashukuru na kuwasikiliza matatizo yao yanayowakabili.

Mbunge wa Jimbo la Ilala, Mussa Azzan 'Zungu', akizungumza na wapigakura wake wa Kata ya Ilala, Dar es Salaam, wakati alipofika kwenye kata hiyo kwa ajili ya kuwashukuru na kuwasikiliza matatizo yanayowakabili leo. Wa pili kushoto ni Diwani wa Kata hiyo, Edison Fungo, Afisa Mtendaji Sam Swila na Mwenyekiti wa Mtaa wa Sharifu Shamba, Mtoro Shah.

No comments:

Post a Comment