Wakili wa Kijitegemea, Paulo Kalomo, akikionesha kitabu hicho, wakati alipokuwa akikizindua leo, Idara ya Habari, Maelezo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Meneja wa Biashara, Humphrey Mwamburi wa Kampuni ya Bussines Connection, watoaji wa Kitabu na DVD hiyo.
Baadhi ya waandishi wa habari waliokuwepo kwenye ukumbi wa Idara ya Habari, Maelezo jijini Dar es Salaam, wakifuatilia uzinduzi huo.
Wakili wa Kijitegemea, Paulo Kalomo, akikielezea kitabu cha 'Legal Procedures in Tanzania' (Taratibu za Kisheria nchini Tanzania), alichokitunga wakati akikizindua leo mbele ya waandishi wa habari, ukumbi wa Idara ya Habari, Maelezo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Meneja wa Biashara, Humphrey Mwamburi wa Kampuni ya Bussines Connection, watoaji wa Kitabu na DVD hiyo.
Baadhi ya waandishi wa habari waliokuwepo kwenye ukumbi wa Idara ya Habari, Maelezo jijini Dar es Salaam, wakifuatilia na kurekodi habari za uzinduzi huo.







No comments:
Post a Comment