TANGAZO


Sunday, March 4, 2012

Dk Kawambwa azindua Kampeni ya Tigo tuchange

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, akikata utepe ili kuashiria uzinduzi wa kampeni ya tigo tuchange leo. Kulia ni Meneja Mkuu Msaidizi wa Kampuni ya Tigo, Gutierrez na Mwakilishi wa Hassan Majaar Trust, Zena Tenga.
 
 
Baadhi ya waandamanaji waliojitokeza katika kampeni ya Tigo tuchange, itakayoanza saa 5 mpaka 6 kwa kutumia tigo rusha pesa zote zitakazopatikana kwa muda huo, zitanunuliwa madawati kwa wanafunzi wa Tanzania. Maandamano hayo yalifanyika Ubungo, Dar es Salaam. (NA MPIGAPICHA WETU)

No comments:

Post a Comment