TANGAZO


Monday, December 12, 2011

Medali za ubingwa

Rais wa Serikali ya Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein, akiwavalisha medali za dhahabu wachezaji wa timu ya Taifa ya Uganda 'The Cranes' baada ya kuibuka mabingwa wa michuano hiyo. Kulia ni Rais wa CECAFA na TFF, Leodegar Tenga.

No comments:

Post a Comment