TANGAZO


Thursday, December 8, 2011

Angalia Mheshimiwa

Spika Anne Makinda, akitoa ufafanuzi  kwa Balozi wa Pakistan nchini, Tajammul Altaf kuhusu zawadi ya saa aliyomuandalia Balozi huyo, yenye kumbukumbu ya picha za historia za Maspika  walomtangulia, toka mwaka 1953 hadi sasa. (Picha na Aron Msigwa – MAELEZO)

No comments:

Post a Comment