Masoko manne ya ng'ombe ambayo ngombe za wizi zilikuwa zikiuzwa ili kufadhili kundi la wapiganaji la Boko haram yamefungwa.
Wapiganaji hao wamekuwa wakitumia maajenti kuuza ng'ombe zilizoibwa kulingana na gavana wa jimbo la Borno.Boko Haram limeiba ng'ombe wengi nchini Nigeria na taifa jirani la Cameroon.
No comments:
Post a Comment