TANGAZO


Monday, November 2, 2015

Everton yanyeshea Sunderland


Image copyrightPA
Image captionEverton zikiumana na Sunderland

Usiku wa kuamkia leo, Southampton wakawabana pumzi Bournemouth kwa akuwapiga bao 2- 0.
Katika mechi hiyo Mkenya Victor Wanyama akatupwa nje kwa kadi nyekundu baada ya kumfanyia madhambi Lee Tomlin.
Baadaye leo jioni tutashuhudia mchezo kati ya Tottenham na Aston Villa.

No comments:

Post a Comment