TANGAZO


Wednesday, May 6, 2015

Waziri wa Fedha Saada Mkuya azindua semina ya wadau wa fedha kwa matokeo makubwa Afrika

Ofisa Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (ADB) Dkt. Babu Ram akielezea mchango wa Maendeleo ya Benki hiyo  ya Afrika kwa Waziri wa Fedha Mh. Saada Mkuya (hayupo pichani) wakati wa kongamano la siku mbili kwa wadau mbalimbali katika  sekta ya fedha iliyofanyika jijini Dar es Salaam mapema hii leo iliyohusu matokeo makubwa sasa. 
Baadhi ya wajumbe wakimfuatilia kwa makini Mh. Saada Mkuya (hayupo pichani) wakati wa kongamano la siku mbili kwa wadau mbalimbali katika  sekta ya fedha iliyofanyika jijini Dar es Salaam mapema hii leo iliyohusu matokeo makubwa sasa. 
Waziri wa Fedha Mh. Saada Mkuya akiwaelezea wajumbe wa kongamano la Matokeo makubwa sasa katika suala la Uchumi Afrika (hawapo pichani) katika  kongamano la siku mbili kwa wadau mbalimbali katika  sekta ya fedha iliyofanyika jijini Dar es Salaam mapema hii leo iliyohusu matokeo makubwa sasa.
Waziri wa Fedha Mh. Saada Mkuya akizungumza jambo na Ofisa Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (ADB) Dkt. Babu Ram, wakati wa uzinduzi wa semina hiyo, jijini Dar es Salaam mapema hii leo iliyohusu matokeo makubwa sasa.
Waziri wa Fedha Mh. Saada Mkuya akizungumza na wajumbe waliohudhuria kongamano la siku mbili kwa wadau mbalimbali katika  sekta ya fedha iliyofanyika jijini Dar es Salaam mapema hii leo iliyohusu matokeo makubwa sasa.

No comments:

Post a Comment