Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donald Mmbando
(kushoto), akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari leo, baada ya
kupokea msaada wa magari manne na vifaa vya afya kutoka kwa Mwakilishi
wa Shirika la Afya la Dunia (WHO), Dk. Rufaro Chotaro (kulia), wizarani hapo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donald Mmbando
(kushoto), akipokea moja ya funguo za magari manne kutoka kwa
Mwakilishi wa Shirika la Afya la Dunia (WHO), Dk. Rufaro Chotaro.
Baadhi ya magari yaliyotolewa msaada na Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) kwa Wizara ya Afya. (Picha zote na Magreth Kinabo-Maelezo)
No comments:
Post a Comment