TANGAZO


Sunday, February 16, 2014

Wafanyakazi wa Vodacom wavamia mitaa ya jiji la Dar

Mfanyakazi wa kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom George Rwehumbiza, akiwaelekeza baadhi ya wafanyabiashara wa viatu walioko katika soko la kariakoo namna ya kujiunga na huduma mpya ya Hallo Tanzania ambayo inampatia mteja wa Vodacom. Sekunde 60 za kuongea bure kila siku asubuhi kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa 3 asubui.  Kujiunga na huduma hiyo mteja atapiga *149*01# na kuchagua Hallo Tanzania. Wafanyakazi wote wa Vodacom waliingia katika mitaa mbali mbali ya jiji la Dar es Salaam ili kutoa elimu kwa wateja kuhusiana na huduma hiyo.
Mfanyakazi wa Vodacom George Rwehumbiza, akiwaelekeza  wafanyabiashara ya nyanya wa soko la kariakoo jijini Dar es Salaam, Bwana. Hassan Kibasha na Ahmed Msalima namna ya kujiunga na huduma ya Hallo Tanzania ambayo inamuwezesha mteja wa Vodacom kupata sekunde 60 za kuzungumza kila siku asubuhi. Kujiunga na huduma hiyo mteja atapiga *149*01# na kuchagua Hallo Tanzania. Wafanyakazi wote wa Vodacom waliingia katika mitaa mbali mbali ya jiji la Dar es Salaam ili kutoa elimu kwa wateja kuhusiana na huduma hiyo.
Meneja wa  Chapa na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Hyvone Maruma, akiwaelekeza wateja wa Mtandao huo namna ya kujiunga na huduma Mpya ya Hallo Tanzania ambayo inamuwezesha mteja wa Vodacom kupata sekunde 60 za muda wa maongezi kila siku asubuhi. Kujiunga na Huduma hiyo mteja atapiga *149*01# na kuchagua Hallo Tanzania. Wafanyakazi wote wa Vodacom waliingia katika mitaa mbali mbali ya jiji la Dar es Salaam ili kutoa elimu kwa wateja kuhusiana na huduma hiyo.
Mfanyakazi wa kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom George Rwehumbiza, akiwaelekeza baadhi ya wafanyabiashara katika  soko la kariakoo namna ya kujiunga na huduma mpya ya Hallo Tanzania ambayo inampatia mteja wa Vodacom. Sekunde 60 za kuongea bure kila siku asubuhi kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa 3 asubui.  Kujiunga na huduma hiyo mteja atapiga *149*01# na kuchagua Hallo Tanzania. Wafanyakazi wote wa Vodacom waliingia katika mitaa mbali mbali ya jiji la Dar es Salaam ili kutoa elimu kwa wateja kuhusiana na huduma hiyo.
Meneja wa Vodacom wilaya ya kibiashara ya Buguruni, Michael Bigambo akiwaelimisha waendesha Boda Boda wa Buguruni Sheli namna ya kujiunga na huduma mpya ya Hallo Tanzania ambayo inampatia mteja wa Vodacom. Sekunde 60 za kuongea bure kila siku asubuhi kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa 3 asubui.  Kujiunga na huduma hiyo mteja atapiga *149*01# na kuchagua Hallo Tanzania. Wafanyakazi wote wa Vodacom waliingia katika mitaa mbali mbali ya jiji la Dar es Salaam ili kutoa elimu kwa wateja kuhusiana na huduma hiyo.
Mhasibu wa Vodacom Tanzania Enjo Rusubi, akizungumza na wafanyabiashara ya Machungwa wa soko la Buguruni jijini Dar es Salaam, kuhusiana na huduma mpya ya Hallo Tanzania ambayo inampatia mteja wa Vodacom. Sekunde 60 za kuongea bure kila siku asubuhi kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa 3 asubui.  Kujiunga na huduma hiyo mteja atapiga *149*01# na kuchagua Hallo Tanzania. Wafanyakazi wote wa Vodacom waliingia katika mitaa mbali mbali ya jiji la Dar es Salaam ili kutoa elimu kwa wateja kuhusiana na huduma hiyo.
Mhasibu wa Vodacom Makao Makuu, Raphael Soka, akizungumza na muuza matikiti, Joseph Kayaula, kuhusiana na huduma mpya ya Hallo Tanzania ambayo inampatia mteja wa Vodacom. Sekunde 60 za kuongea bure kila siku asubuhi kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa 3 asubui.  Kujiunga na huduma hiyo mteja atapiga *149*01# na kuchagua Hallo Tanzania. Wafanyakazi wote wa Vodacom waliingia katika mitaa mbali mbali ya jiji la Dar es Salaam ili kutoa elimu kwa wateja kuhusiana na huduma hiyo.
Kiongozi wa Mawakala wa Vodacom, Erick Mhegela, akitoa Elimu kwa wafanyabiashara ya Pweza katika soko la Samaki la Feli jijini Dar es Salaam,  Ali Athumani wa Kwanza kushoto na Amis Msige kuhusiana na huduma Mpya ya Hallo Tanzania ambayo inampatia mteja wa Vodacom. Sekunde 60 za kuongea bure kila siku asubuhi kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa 3 asubui.  Kujiunga na huduma hiyo mteja atapiga *149*01# na kuchagua Hallo Tanzania. Wafanyakazi wote wa Vodacom waliingia katika mitaa mbali mbali ya jiji la Dar es Salaam ili kutoa elimu kwa wateja kuhusiana na huduma hiyo.
Kiongozi wa Mawakala wa Vodacom, Upendo Machibya, akimuelekeza dereva wa Boda Boda wa Feri jijini Dar es Salaam. Bw. Mohamed Mzee, namna ya kujiunga na huduma mpya ya Hallo Tanzania ambayo inampatia mteja wa Vodacom. Sekunde 60 za kuongea bure kila siku asubuhi kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa 3 asubui.  Kujiunga na huduma hiyo mteja atapiga *149*01# na kuchagua Hallo Tanzania. Wafanyakazi wote wa Vodacom waliingia katika mitaa mbali mbali ya jiji la Dar es Salaam ili kutoa elimu kwa wateja kuhusiana na huduma hiyo.
Kiongozi wa Mawakala wa Vodacom, Upendo machibya, akimuelekeza Mfanyabiashara ya Pweza katika soko la samaki la Feri jijini Dar es Salaam, namna ya kujiunga na huduma mpya ya Hallo Tanzania ambayo inampatia mteja wa Vodacom. Sekunde 60 za kuongea bure kila siku asubuhi kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa 3 asubui.  Kujiunga na huduma hiyo mteja atapiga *149*01# na kuchagua Hallo Tanzania. Wafanyakazi wote wa Vodacom waliingia katika mitaa mbali mbali ya jiji la Dar es Salaam ili kutoa elimu kwa wateja kuhusiana na huduma hiyo.


Dar es Salaam, February 16, 2014
WAFANYAKAZI wa Vodacom Tanzania leo wametembelea maeneo  mbali mbali ya jiji la Dar es Salaam kwa lengo la kutoa huduma za mtandao huo ikiwemo promosheni yake mpya ya Hello Tanzanua iliyoanza rasmi juzi nchi nzima.

Promosheni hiyo ya Hello Tanzania inawawezesha wateja wa Vodacom kuamka  na kuanza siku na Dakika moja ya bure wanayoweza kuitumia kati ya Saa Kumi na Mbili Alfajiri na Saa Tatu Asubuhi.

Maeneo ambayo yaliyofikiwa na wafanyakazi hao ni pamoja na Mbagala, Ubungo, Temeke, Kawe, Buguruni, Kinondoni pamoja na Kivukoni, Mtaa wa Azikiwe, Posta mpya, Soko kuu la Kariakoo, mtaa wa Msimbazi, Uhuru na Aggrey, Mchikichini na maeneo ya Muhimbili.

Akifafanua juu ya uamuzi wa kuwatuia wafanyakazi wa idara mbalimbali kuzungukia soko  Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Rene Meza amesema kuwa lengo ni kutaka kuwahusisha moja kwa moja wafanyakazi wa kampuni hiyo katika kuwahudumia na kuwafikia wateja popote walipo na pale hitaji linapojitokeza.

“Zoezi hili linawasaidia pia wafanyakazi kujua namna tunavyowahudumia wateja, wanavyopokea huduma na nini cha kuwaboreshea katika kuhakikisha tunamhudumia kila mmoja kwa kiwango cha kukidhi mataraijio yake.”Alisema Meza.

“Hello Tanzania” ni huduma mpya na tungependa wateja wetu wawe na ufahamu mkubwa juu ya huduma hiyo ili waweze kufaidika nayo na hivyo kufikia azmiam yetu ya kuwawawezesha kimawasiliano.”Alisema.

“Tumepita maeneo yote hayo na kuwaeleimisha jinsi ya kujiunga ambapo ni kupiga *149*01# na kuchagua huduma ya Hello Tanzania”Alisema.

Aidha wafanyakazi hao wamesema kuwa wamefurahi kujumuika pamoja na wateja wao kwani imewaongezea uelewa wa jinsi wateja
wananvyofurahia huduma na changamoto wanazokabiliana nazo.

“Kwa kweli ni mara yangu ya kwanza kama mfanyakazi wa Vodacom kujumuika pamoja mtaani na wateja wetu. Nimegundua mambo mengi sana na zaidi ni jinsi wanavyofurahia huduma zetu ikiwemo M-pesa.”Alisema, mfanyakazi kutoka idara ya uhasibu, na kuongeza.

“Vodacom tunafanya vizuri sokoni na kwa upande wa changamoto
tulizowakuta nazo wateja nyingima zetu mbalimbali.”Aliongeza
Wateja nao wameelezea walivyopokea zoezi hilo katika makazi yao kuja kuwahudumia moja kwa moja. “Kwa kweli nimefurahi na najiskia kuwa karibu zaidi na Vodacom, hili ni jambo zuri nani wazi linaongeza ukaribu kati ya wateja na mtoa huduma, nawapongeza sana Vodacom.”Alisema Mfanyakazi wa Tegeta.

“Mimi kwa upande wangu nimevutiwa sana na kitendo hiki walichoamua kukifanya. Huduma ya Hello Tanzania ni nzuri kwa kweli kwani leo nimeijaribu asubuhi nilipoamka kwa kumpigia rafiki yangu kumkumbushia mipango yetu ya kazi tuliyoipanga jana jioni.” Alisema Bw. Boniface Jacob mkazi wa Buguruni.

“Si watu wote wanafahamu jinsi ya kujiunga na huduma hizi,
nimeshuhudia mara kadhaa watu wakighairi kufanya hivyo kutokana na uvivu tu wa kufuata maelekezo ya jinsi ya kujiunga. Lakini leo wafanyakazi hawa wamewaunganisha wateja wao kwa kuwaelekeza hatua moja baada ya nyingine kitu ambachi kitasaidia siku za usoni mteja kufanya hivyo mwenyewe. Nawasihi huu usiwe mwisho bali ni mwanzo, pia ningependa kuwapongeza kwa ubunifu huu waliouonesha hongera sana kwa kuzidi kutujali wateja wao.” Alihitimisha Bw. Jacob.

No comments:

Post a Comment