TANGAZO


Wednesday, January 1, 2014

Mabondia watifuana usiku wa kuaga mwaka 2013 na kuukaribisha 2014 jijini Dar es Salaam


Bondia Joshua Amukulu (kushoto) wa Kenya akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Fransis Miyeyusho wakati wa mpambano wao wa kuuaga mwaka 2013 na kukaribisha 2014, uliofanyika katika ukumbi wa Msasani Klabu, Dar es  Salaam. Miyeyusho alishinda kwa K.O ya raundi ya pili na kuibuka mbabe katika mpambano huo. (Picha zote na www.superdboxingcoach.blogspot.com)

 
Bondia Joshua Amukulu (kushoto) wa Kenya akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Fransis Miyeyusho wakati wa mpambano wao wa kuuaga mwaka 2013 na kukaribisha 2014, uliofanyika katika ukumbi wa Msasani Klabu, Dar es  Salaam. Miyeyusho alishinda kwa K.O ya raundi ya Pili.
Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' (kushoto), akioneshana umwamba wa kutupiana kakonde na Mustafa Dotto wakati wa mpambano wao wa raundi sita kwa ajili ya kufunga mwaka king class mawe alishinda kwa point.
Bondia Mustafa Dotto (kushoto), akioneshana umahiri wa kutupiana makonde na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati wa mpambano wao huo. King Class alishinda kwa point.
 
Bondia Mustafa Dotto (kushoto) akioneshana umahiri wa kutupiana makonde na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati wa mpambano wao huo. King Class alishinda mpambano huo kwa point.
Ibrahim Class 'King Class Mawe' akiinuliwa mkono baada ya kumndunda Mustafa Dotto wakati wa kusherehekea mwaka mpya wa 2014.
Bondia Karama Nyilawila (kushoto), akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Ibrahimu Maokola wakati wa mpambano wao uliofanyika kwa ajili ya kufunga mwaka na kuukaribisha mwaka mpya wa 2014. Kalama  alishonda kwa K.O.
Bondia Iddy Mnyeke  (kushoto), akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Cosmas Cheka wakati wa mpambano wao wa kuuaga mwaka na kuukaribisha mwaka mpya wa 2014. Mpambano huo ulikuwa ngoma droo.
 
Cosmas Cheka na Iddy Mnyeke wakipambana
 
Mabondia wakisubiri matokeo ambayo yalikuwa na droo.

No comments:

Post a Comment