TANGAZO


Wednesday, January 1, 2014

Wafanyakazi wa Jambo Concepts wauaga mwaka 2013 na kuukaribisha 2014 kwa sherehe ya nguvu kwenye Mgahawa wa City Sports Lounge wa Kampuni hiyo jijini Dar es Salaam

Wafanyakazi wa Kampuni ya Jambo Concepts Tanzania Limited, inayochapisha Magazeti ya Jambo Leo, Staa Spoti, Dar Metro na jarida la Jambo Brand Tanzania pamoja, kumiliki duka la Office Direct na Klabu ya City Sports & Lounge, wakigongeana glasi za vinywaji wakitakiana heri mwaka mpya na kuuaga mwaka 2013, katika hafla iliyofanyika kwenye mgahawa wao wa City sports & lounge, Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo. (Picha zote na Kamanda wa Matukio, Richard Mwaikenda)
Hapa wafanyakazi wakifungua shampeni kwa ajili ya sherehe hiyo.
Hapa watu wakijimiminia  shampeni kwenye vinywaji vyao, wakati wakisubiri kuingia mwaka mpya wa 2014.
Hapa Meneja Mkuu, Ramadhan Kibanike akigonganisha glasi na mwandishi wa habari za michezo, Asha Kigundula.
Hapa Meneja Mkuu, Ramadhan Kibanike, akikata kilaji na kusakata Rhumba na mmoja wa waandishi wa gazeti la Jambo Leo, Christina.
Wafanyakazi wakizirudi ngoma pamoja na kugonganisha chupa na glasi za vinywaji.


Wafakazi wakizirudi ngoma kwa staili mbalimbali wakati wa sherehe hiyo.
Wafakazi wakizirudi ngoma kwa staili mbalimbali katika sherehe hiyo.
Hapa ni mambo ya kilaji tu, wafanyakazi wakijiburudisha kwa vinywaji vya aina mbalimbali wakati wa hafla hiyo.
Wafanyakazi wakizirudi ngoma wakati wa sherehe hiyo.
Chupa na glasi za vinywaji zikigonganishwa.



















Wafanyakazi wakizirudi ngoma kwenye sherehe hiyo.

No comments:

Post a Comment