Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi ambaye ni
mratibu wa pambano kati ya Shabani Kaoneka (kushoto) na Said Mbelwa, Rajabu Mhamila 'Super D' (katikati), akiwainua mikono juu
mabondia hao baada ya kupima uzito kwa ajili
ya mpambano wao huo, utakaofanyika kesho, Novemba 10, ukumbi wa Zulu
Paradies Pugu, Kilumba. (Picha na
www.superdboxingcoach.blogspot.com)
|
Bondia Shabani Kaoneka
(kushoto) na Said Mbelwa (kulia), wakitunishiana misuli baada ya kupima uzito
leo kwa ajili ya pambano lao hilo. Katikati ni mratibu wa mpambano huo, Rajabu Mhamila 'Super
D'.
|
Bondia Said Mbelwa, akipima uzito kwa ajili ya pambano lao hilo. Kushoto ni mpinzani wake, Shabani Kaoneka na kulia ni mratibu wa
mpambano huo, Rajabu Mhamila Super D'. Mpambano huo, utafanyika kesho Jumapili, Novemba
10, ukumbi wa Zulu Paradies, Pugu Kilumba.
Bondia Shabani Kaoneka, akipima uzito kwa ajili ya
mpambano wao huo. Kushoto ni mpinzani wake, Said Mbelwa na kulia ni mratibu wa
mpambano huo, Rajabu Mhamila 'Super D'.
|

No comments:
Post a Comment