Vijana kutoka maeneo mbalimbali nchini wakifuatilia mada zilizokuwa zikiwasilishwa katika mdahalo wa Vijana leo mkoani Iringa.
Wananchi wa Mkoa wa Iringa wakipata taarifa mbalimbali kuhusu bidhaa na huduma zinazopatikana katika mabanda ya Maonyesho ya Wiki ya Vijana mkoani Iringa.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Sparke International Co.Ltd Bw. Gerald Reuben akitoa elimu kwa baadhi ya Vijana waliotembelea banda la Maonyesho la Kampuni hiyo katika viwanja vya maonyesho vya Mlandege mkoani Iringa.
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania, Bi. Joyce Fissoo akitoa maelezo kwa wananchi waliotembelea banda la Maonyesho la Wizara ya Habari, vijana, Utamduni na Michezo mkoani kuhusu utendaji kazi wa Bodi hiyo na usimamizi wa kazi za wasanii nchini.
Wananchi wa mkoa wa Iringa wakipata taarifa na kuangali picha mbalimbali za matukio ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere wakati wa uhai wake katika banda la Maonyesho la Mfuko wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
No comments:
Post a Comment