Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la
Utangazaji Tanzania (TBC), Bw. Clement Mshana, akieleza kwa waandishi wa
habari (hawapo pichani) kuhusu mkutano Mkuu wa mwaka wa Vyombo vya Utangazaji
vya nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), unaotarajiwa kufunguliwa
rasmi tarehe 21, Octoba 2013 jijini Arusha, ambapo mgeni rasmi atakuwa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete. Kulia ni Mratibu wa
Kanda wa Shirika hilo, Bw. Joe Rugarabamu. (Picha na Hassan
Silayo-MAELEZO)
No comments:
Post a Comment