Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein (kushoto), akisalimiana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Chama cha Kikomunisti cha Jamhuri ya Watu wa China, Comrade Ai Pin, alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo (wa pili kulia), Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai na Asha Rose Migiro, Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Chama cha Kikomunisti cha Jamhuri ya Watu wa China Comrade Ai Pin, alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo. (Picha zote na Ramadhan Othman, Ikulu)
No comments:
Post a Comment