Baadhi ya waalikwa kutoka nchi mbalimbali barani Afrika, wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani (MB), wakati alipokuwa akihutubia katika mkutano huo, ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Accra.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Celina Kombani (kushoto) pamoja na Katibu Mkuu wa Ofisi hiyo, George Yambesi, wakiwa katika banda la Tanzania pamoja na baadhi ya watumishi wengine wa ofisi yake, mara baada ya kuhutubia kutano huo.
Waziri Kombani (MB), akitoa maelekezo kwa baadhi ya washiriki wa Tanzania kwenye banda hilo. Wa pili kushoto ni Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, George Yambesi.
No comments:
Post a Comment