![]() |
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Sihaba Nkinga, akizungumza na Maofisa Mawasiliano wa Serikali wakati wa Kikao kazi hicho, mjini Dodoma.
|
![]() |
Ofisa Habari wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali, Sarah Reuben, akichangia moja ya mada katika kikao kazi cha Maofisa Habari, Elimu na Mawasiliano wa Serikali mjini Dodoma jana.
|
No comments:
Post a Comment