Mashabiki wa timu ya Kaskazini Unguja CCM,wakishangilia wakati timu ya CCM, Mkoa wa Mjini, walipoifunga goli la tatu katika mchezo wa Fainali ya Kombe la Dk. Shein, mchezo, uliofanyika leo, Uwanja wa Amaan mjini Zanzibar, katika kilele cha miaka 36, ya kuzaliwa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Mgeni rasmi katika mchezo huo, alikuwa Makamo Mwenyekiti wa Chama hicho, Visiwani, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein. Kaskazini iliibuka na ushindi wa mabao 3-1. (Picha zote na Ramadhan Othman Ikulu)
|
No comments:
Post a Comment