TANGAZO


Monday, February 4, 2013

Tume ya Katiba: Mabaraza ya Katiba kuanza Mwezi Juni 2013

Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba akizungumza katika mkutano na waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari, aliokutana leo, katika Ofisi za tume hiyo, jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Tume, Jaji Mkuu mstaafu, Augustino Ramadhani. (Picha na Tume ya Katiba)

No comments:

Post a Comment