Kijana wa CCM, akimvika skafu Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Mrisho Kikwete, muda mfupi baada ya kuwasili mjini Dodoma kuongoza kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa.
|
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Mrisho Kikwete, akiwasili mjini Dodoma leo jioni kwa ajili ya kukiongoza kikao cha NEC-CCM.
|

No comments:
Post a Comment