Makamu Meya wa Manispaa ya Tianjin nchini China, Zhang Junfang (katikati), akimvisha kitambaa chenye michoro ya kiutamaduni, Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara, wakati apomtembelea leo, ofisini kwake, jijini Dares Salaam, ikiwa ni ishara ya ushirikiano wa kiutamaduni baina ya nchi yake na Tanzania. Meya huyo yupo nchini kwa ajili ya sherehe za mwaka wa Kichina, zitakazoadhimishwa leo jioni, Viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam. Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda.
|
No comments:
Post a Comment