TANGAZO


Saturday, December 1, 2012

Wafanyakazi wa TBS waadhimisha Siku ya Ukimwi duniani


Mwakilishi wa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Joseph Masikitiko akifungua rasmi maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani iliyowashirikisha wafanyakazi wa shirika hilo na kufanyika Makao Makuu ya TBS, jijini Dar es Salaam leo.
 
Mwelimishaji, Jabir Saleh akitoa mada kuhusu jinsi ya kujikinga na maambukizi ya Ukimwi wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani leo.
 
 
Jabir Saleh, Kaimu Mwenyekiti Kamati ya Ukimwi.
 
Badhi ya washiriki wakiwa katika maadhimisho hayo.
 
Washiriki wakiwa katika maadhimisho hayo jijini leo.
Wasanii wa Kikundi cha Sanaa kutoka kijiji cha Makumbusho wakitumbuiza katika maadhimisho hayo.
 
Dk. Fidelis Owenya akitoa mada ya jinsi ya kujikinga na maambukizi ya Ukimwa wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani leo.
 
 

No comments:

Post a Comment