Makamo Mwenyekiti wa CCM
Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, ambaye pia ni Mjumbe wa
Kamati Kuu ya CCM Taifa, Dk. Ali Mohamed Shein (wa pili kulia), Katibu Mkuu
wa CCM Taifa, Abrahman Kinana (wapili kushoto), Naibu Katibu Mkuu CCM
Zanzibar, Vuai Ali Vuai (kulia) na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Makamo wa Pili
wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi, wakiimba wimbo wa Chama wakati
Rais Shein, alipowasili katika Ukumbi wa Ofisi ya CCM Kisiwandui, katika Kikao cha Kamati
Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ya Zanzibar, kilichofanyika leo.
|
No comments:
Post a Comment