TANGAZO


Tuesday, November 13, 2012

kuwasili kwa Harambee Stars na mazoezi ya taifa Stars

 Wachezaji wa timu ya Taifa ya Kenya, Harambee Stars, wakiwa uwanja wa ndege wa Mwanza muda mfupi baada ya kuwasili kwa ajili ya mchezo kati ya timu hiyo na Taifa Stars, kesho kwenye uwanja wa CCM Kirumba.

Kocha wa Harambee Stars pamoja na wachezaji wa timu hiyo, wakiwa Uwanja wa ndege wa Mwanza muda mfupi baada ya kuwasili jijini hapa kwa ajili ya mchezo kati ya timu hiyo na Taifa Stars, kesho kwenye uwanja wa CCM Kirumba.

Kocha Kim Polsen akiwapa maelekezo wachezaji wa Stars kwenye uwanja wa CCM Kirumba wakati wa maozezi ya timu hiyo jana.

Mrisho Ngassa akifanya mazoezi ya viungo na Shomari Kapombe juzi kwenye uwanja wa CCM Kirumba wakati wa mazoezi ya Stars kujiandaa na mechi dhidi ya Harambee Stars
 Kim Polsen akimpa maelekezo Mbwana Samatta wakati wa mazoezi ya Stars jana.

Kikosi cha Stars kikiomba dua mara baada ya kufanya mazoezi jana  kwenye uwanja wa CCM Kirumba. (Picha zote na mpigapicha wetu)

No comments:

Post a Comment