Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akizindua shina la wakereketwa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) la wajasiriamali watengeneza fenicha katika mji mdogo wa Katoro mkoani Geita jana. Nape aliwapa pia msaada wa sh. milioni moja kwa ajili ya kuwasaidia wajasiriamali hao kukuza shughuli zao.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimtuza msanii Kassim Magembe, baada ya kuridhishwa na uhodari wake alipotumbuiza kwenye mkutano wa CCM uliofanyika uwanja wa mpira wa Geita leo.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, akiwasalimia vijana wa kimachinga waliokuwa wakifanyabiashara ya viatu.





No comments:
Post a Comment