TANGAZO


Monday, November 19, 2012

CRDB yadhamini shindano la mchanganuo wa Biashara kwa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu



Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Kiuchumi, Anaclet Kashuliza akizungumza na waandishi wa habari baada ya kufungua shindano la kuandika michanganuo ya biashara na kuvishirikisha Vyuo Vikuu vilivyopo jijini Dar es Salaam leo. Benki ya CRDB ndio wadhamini wa shindano hilo.
 
Mkurugenzi wa Kitivo cha Ujasiriamali cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDEC), Maria Nchimbi akitoa mada wakati wa shindano la kuandika michanganuo ya biashara na kuvishirikisha Vyuo Vikuu vilivyopo jijini Dar es Salaam. Benki ya CRDB ndio wadhamini wa shindano hilo.
 
Ofisa Masoko wa CRDB, Emmanuel Kiondo akitoa mada kuhusu huduma zinazotolewa na benki hiyo, wakati wa shindano la kuandika michanganuo ya biashara na kuvishirikisha Vyuo Vikuu vilivyopo jijini Dar es Salaam. Benki ya CRDB ndio wadhamini wa shindano hilo.
 
Ofisa Masoko wa CRDB, Emmanuel Kiondo (kushoto), akiwa na Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezaeshaji na Kiuchumi wakati wa shindano la kuandika michanganuo ya biashara na kuvishirikisha Vyuo Vikuu vilivyopo jijini Dar es Salaam. Benki ya CRDB ni wadhamini wa shindano hilo.
 
Baadhi ya washiri wakipata maelezo kutoka kwa Maofisa wa benki ya CRDB.
 
Baadhi ya washirki wakigawiwa kofia na mmoja wa Maofisa wa benki ya CRDB.

Baadhi ya Wanafunzi wa vyuo vya Elimu ya Juu wakipewa vipeperushi na Ofisa wa benki ya CRDB.

Baadhi ya wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu wakipewa vipeperushi kutoka kwa Ofisa wa benki ya CRDB, wakati wa shindano la kuandika michanganuo ya biashara na kuvishirikisha Vyuo Vikuu vilivyopo jijini Dar es Salaam. Benki ya CRDB ndio wadhamini wa shindano hilo.
 

Waziri Mkuu wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), Enos Lupimo (kushoto), akipata maelezo kutoka kwa Ofisa wa Benki ya CRDB, Tumaini Kamuhanda (wa pili kulia), kuhusu huduma za kibenki zinazotolewa na benki hiyo, wakati wa shindano la kuandika michanganuo ya biashara na kuvishirikisha Vyuo Vikuu vilivyopo jijini Dar es Salaam. Benki ya CRDB ndio wadhamini wa shindano hilo.
 
 
Baadhi ya wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu wakisikiliza mada na maelezo mbalimbali yaliyokuwa yakitolewa na Maofisa wa benki ya CRDB, wakati wa shindano la kuandika michanganuo ya biashara na kuvishirikisha Vyuo Vikuu vilivyopo jijini Dar es Salaam. Benki ya CRDB ndio wadhamini wa shindano hilo.

No comments:

Post a Comment