Rais Jakaya
Mrisho Kikwete na mkewe, mama Salma Kikwete, wakiwasili kutoa heshima zao za mwisho na
kuuaga mwili wa marehemu Jackson Makwetta ambaye kabla ya kufariki kwake juzi
alipata kuwa Mbunge na Waziri katika Wizara mbalimbali. (Picha zote na Ikulu)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka sahihi kwenye
kitabu cha maomboleza alipofika kutoa heshima zake za mwisho na kuuaga mwili wa
marehemu Jackson Makwetta ambaye kabla ya kufariki kwake juzi alipata kuwa
Mbunge na Waziri katika Wizara mbalimbali.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete, akiwafariji wana familia wa
marehemu Jackson Makwetta ambaye kabla ya kufariki kwake juzi alipata kuwa
Mbunge na Waziri katika Wizara mbalimbali.
Makamu wa Rais, Dk. Gharib Mohamed Bilali, akitoa
heshima zake za mwisho na kuuaga mwili wa marehemu Jackson Makwetta, ambaye kabla
ya kufariki kwake juzi, alipata kuwa Mbunge na Waziri katika Wizara mbalimbali.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitoa heshima zake za
mwisho na kuuaga mwili wa marehemu Jackson Makwetta, ambaye kabla ya kufariki
kwake juzi, alipata kuwa Mbunge na Waziri katika Wizara mbalimbali.
Spika wa Bunge, Anne Makinda akitoa heshima zake za
mwisho na kuuaga mwili wa marehemu Jackson Makwetta, ambaye kabla ya kufariki
kwake juzi, alipata kuwa Mbunge na Waziri katika Wizara mbalimbali.
Waziri Mkuu sstaafu, Cleopa David Msuya, akitoa
heshima zake za mwisho na kuuaga mwili wa marehemu Jackson Makwetta, ambaye kabla
ya kufariki kwake juzi, alipata kuwa Mbunge na Waziri katika Wizara mbalimbali.
Waziri William Lukuvi, akitoa
heshima zake za mwisho na kuuaga mwili wa marehemu Jackson Makwetta, ambaye kabla
ya kufariki kwake juzi, alipata kuwa Mbunge na Waziri katika Wizara mbalimbali.
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Philip Mangula
akitoa heshima zake za mwisho na kuuaga mwili wa marehemu Jackson Makwetta, ambaye kabla ya kufariki kwake juzi, alipata kuwa Mbunge na Waziri katika Wizara mbalimbali.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete, akimfariji mjane wa
marehemu Makwetta, baada ya akitoa heshima zake za mwisho na kuuaga mwili wa marehemu huyo, ambaye kabla ya kufariki kwake juzi, alipata kuwa Mbunge na
Waziri katika Wizara mbalimbali.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete, akitoa heshima zake za
mwisho na kuuaga mwili wa marehemu Jackson Makwetta, ambaye kabla ya kufariki
kwake juzi, alipata kuwa Mbunge na Waziri katika Wizara mbalimbali.
No comments:
Post a Comment