TANGAZO


Wednesday, October 17, 2012

Rais Kikwete ahutubia Wawekezaji jijini Mascat, Oman

 


Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na baadhi ya wafanyabiashara wa Oman na Tanzania waliohudhuria Mkutano Maalum wa Wawekezaji wa Tanzania uliofanyika jijini Mascat ,Oman usiku wa kuamkia leo. Mkutano huo wa wawekezaji ulihudhuriwa pia na Waziri wa Mambo ya Nnje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe, Waziri wa Viwanda Biashara na Masko, Dk. Abdallah Kigoda, Waziri wa Kazi Ushirika na Uwezeshaji Kiuchumi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Haroun Ally Suleleiman, Naibu Waziri waFedha na Uchumi, Janet Mbene na viongozi waandamizi mbalimbali wa Serikali zote mbili. (Picha zote na Ikulu)
 

Rais Kikwete akiwahutubia wawekezaji hao kwenye mkutano uliofanyika jijini Mascat Oman.

No comments:

Post a Comment