![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgV5TJ7nCcCUnJZiwZ8nhkA6KnlH3lgyp4Tq8S9R6eUZck2unmLBsrs9OWGq-E7V7cCgdkbSj3ysXShF88V1W_HUupcvWlF9b8AYp6sdD6BGPYTzeCfmsl28gDIJ9yepQAp6aTYxx8kNbxV/s640/234.jpg)
Mmoja wa wandamanaji akipelekwa katika kituo Kikuu
cha Polisi cha Kati jijini Dar es Salaam leo mchana mara baada ya kukamatwa
akiandamana.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg7izES4xahr3WaptAX0BuuaDhvrxRoMZ1wsPyHr0ZFUiwiLzZrIi2AFA0oen0YzRnNz_vZ1_TynUuANJM4hFcw7d_MaeriDitd4OpBPEtmsNt6Uo_to8s-YndeIcczxWXXcoKPE55zo8su/s640/144.jpg)
Mmoja wa wafuasi wa kikundi cha waislamu wanaomuunga mkono Katibu wa Shura ya Maimamu, Sheikh Ponda Issa Ponda, akidhibitiwa na polisi mara baada ya kukamatwa leo katika Kituo Kikuu cha
Polisi Kati, wakijaribu kuandamana ili kushinikiza kiongozi wao Katibu wa Taasisi
hiyo, Shekh Ponda Issa Ponda kuachiwa na jeshi la polisi mara baada ya
kukamatwa jijini Dar es Salaam kwa kudaiwa kusababisha vurugu jijini Dar es
Salaam.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhzsxjWFFB8Mv2ujcCMLQNZSo0-Zc7gMz9WK5Ux7z1CM03edp67p86lgVCBQJT-xTKS3bWVSWHyhht521aYWnuByEbv_0JxMnwSkgyXVKGKA7YXZibn6xdRnGWH-fmAPLifeJEer96YCIW-/s640/418.jpg)
Polisi wakiwa tayari kwa kudhibiti maandamano hayo
katika Kituo Kikuu cha Polisi Kati Dar es Salaam kati leo.
(Picha zote na Haki Ngowi)
No comments:
Post a Comment