TANGAZO


Tuesday, September 11, 2012

Simba yaitandika Azam FC mabao 3-2 Ngao ya Hisani


Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Mkongoro Mahanga akimkabidhi Ngao ya Hisani nahodha wa Simba, Juma Kaseja baada ya kuifunga Azam FC 3-2 katika mchezo wa fainali uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam
Ngao ya Hisani
Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi akimtoka beki wa Azam FC, Aggrey Morris katika mchezo wa Ngao ya Hisani uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Simba imeshinda 3-2. Mapato ya mchezo huo yataelekezwa katika shughuli za kijamii Hospitali ya Temeke.
 
Ridondo wa Simba (aliyedondoka) akipambana na Abdulhalim Humud wa Azam FC katika mchezo huo.
Mashabiki wa Simba wakiwa wamejazana kuangalia mchezo huo.
 
Golikipa wa Azam FC, Munisi, akidaka mpira uliopigwa na Diniel Akkufor wa Simba. 

No comments:

Post a Comment