Emmanuel Okwi wa Simba akimtoka Johanes Kajuna wa African Lyon katika mchezo huo.
Obina Salamusasa wa African Lyon, akimtoka Daniel Akuffor wa Simba.
Daniel Akuffor wa Simba, akimuhadaa Obina Salamusasa wa African Lyon katika mchezo huo.
Mchezaji Emmanuel Okwi akipiga mpira mbele ya Obina Salamusasa wa African Lyon.
Yussuf Mlipili, akimtoka Emmanuel Okwi wa Simba.
No comments:
Post a Comment