Mwenyekiti wa Kia Motors, Cho Kwi Hyun, akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadik mfano wa funguo ya moja ya magari manne ambayo kampuni hiyo imetoa kwa Shule ya Sekondari ya Maendeleo, iliyopo Nakasangwe Madale jijini Dar es Salaam, wakati wa hafla ya uzinduzi wa shule hiyo leo. Kulia ni Mkurugenzi wa Shirika la GNI, Yang Jin Ok na kushoto ni Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa wa Madale Alex Mbuya.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadik akihutubia wananchi wakati wa uzinduzi wa Shule ya Sekondari ya Maendeleo, iliyoko Nakasangwe Madale jijini Dar es Salaam iliyojengwa kwa msaada wa kampuni ya KIA na HYUNDAI za Korea kupitia Shirika la Good Neighbour International la Korea.
No comments:
Post a Comment