TANGAZO


Sunday, August 19, 2012

Makamu wa Rais Dk. Bilal ashiriki Swala, Baraza la Idd, Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal (wa kwanza kushoto), Rais Mstaafu wa Awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi (wa pili kushoto), wakijumuika na waumini wa dini ya Kiislamu katika swala ya Sikukuu ya Idi el Fitri, iliyofanyika Viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam leo asubuhi. (Picha zote na OMR)

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal (wa tano  kushoto), Rais Mstaafu wa Awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi (wa sita kushoto), wakijumuika na waumini wengine wa dini ya Kiislamu katika swala ya Sikukuu ya Idi el Fitri, iliyofanyika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam leo asubuhi.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal (wa pili  kushoto), Rais Mstaafu wa Awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi (wa tatu kushoto), wakijumuika katika dua na waumini wengine wa dini ya Kiislamu mara baada ya swala ya Sikukuu ya Idi el Fitri, iliyofanyika Viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam leo asubuhi.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akitoa salamu za Sikukuu ya Idi el Fitri kwa waumini wa dini ya Kiislam, mara baada ya kumaliza kushiriki katika swala ya Idi, iliyofanyika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam leo asubuhi.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na Rais Mstaafu wa Awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi, mara baada ya kumalizika kwa swala ya Idi na Baraza la Idi vilivyofanyika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, leo asubuhi. 

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akiagana  na baadhi ya waumini wa dini ya Kiislam, wakati akiondoka katika viwanja vya Mnazi Mmoja baada ya kumalizika kwa swala na Baraza la Idi leo asubuhi.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akiagana  na baadhi ya waumini wa dini ya Kiislam, wakati akiondoka katika viwanja vya Mnazi Mmoja baada ya kumalizika kwa swala na Baraza la Idi leo asubuhi.

No comments:

Post a Comment