TANGAZO


Thursday, June 21, 2012

Wabunge wakibadilishana mawazo nje ya Bunge Leo

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anne Makinda (kulia), akibadilishana mawazo na Mbunge wa Kuteuliwa Anna Abdallah (kushoto), mjini Dodoma leo katika viwanja vya Bunge, wakati wa mapumziko.

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anne Makinda (kulia) akibadilishana mawazo na Mbunge wa Kuteuliwa Anna Abdallah (kushoto) leo, mjini Dodoma katika viwanja vya Bunge.

Mbunge wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono (kulia), akibadilishana mawazo na Naibu Waziri wa TAMISEMI, Aggrey Mwanri  mjini Dodoma leo katika viwanja vya Bunge. (Picha na Tiganya Vincent-Dodoma)

No comments:

Post a Comment