Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein (katikati), alikifuatana na viongozi na kuingia katika ukumbi wa mikutano wa Chuo Kikuu cha Zanzibar (SUZA), Tunguu katika mkutano wa watendaji wa Ofisi za Serikali Mkoa wa Kusini Unguja, wakati wa mkutano wa majumuisho uliofanyika Chuoni hapo leo, baada ya kumalizikia kwa ziara ya Rais katika Mkoa huo. (Picha nzote na Ramadhan Othman,Ikulu)


No comments:
Post a Comment