Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, akisalimiana na Balozi wa Sudan nchini, Dk.
Yassir Mohamed Ali, kabla ya mazungumzo yao, ofisini kwake jijini Dar
es salaam leo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Balozi wa Sudan nchini,
Dk.Yassir Mohamed Ali, ofisini kwake jijini Dar es Salaam Aprili 5,
2012.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, akizungumza katika kikao cha kutia saini mkataba wa makubaliano (MOU), kati ya Serikali na Kampuni ya Jain
Irrigation System Limited ya India, ofisini kwake jijini Dar es Salaam
leo Aprili 5,2012.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, akishuhudia utiaji saini wa Mkataba wa
Makubaliano (MOU), kati ya Serikali na Kampuni ya Jain Irrigation
System Limited ya India uliofanyika ofisini kwake jijini Dar es Salaam
leo Aprili 5, 2012.Wanaotia saini ni Waziri wa Kilimo na Maendeleo, Chakula
na Maendeleo ya Ushirika, Profesa Jumanne Maghembe (kulia) na Mkurugenzi
Mtendaji wa kampuni ya Jain, Atul Jain. (Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu)

No comments:
Post a Comment