Kimwana Bi. Harusi, Haki Ally (kulia), akiwa amepozi kwa picha na mmoja wa dada zake wakati wa kufungwa ndoa hiyo.
Kimwana Bi. Harusi, Haki Ally, akiwa amepozi kwa picha wakati wa kufungwa ndoa hiyo.
Bi. Harusi, Haki Ally (wa pili kulia), akiwa amepozi kwa picha pamoja na ndugu zake wakati wa kufungwa ndoa hiyo.
Bi. Harusi, Haki Ally (katikati), akiwa na dada zake huku akitoa tabasamu la nguvu.
Mdau Hassan Twaha, akiwa amemkumbatia mkewe, Bi. Haki Ally, mara baada ya kufungwa ndoa hiyo, Tabata Mawenzi jijini Dar es Salaam jana usiku.
Mdau Hassan Twaha, akipeana busu la nguvu na mkewe, Bi. Haki Ally, mara baada ya kufungwa ndoa hiyo na kukutanishwa kwenye chumba cha Bi. Harusi, Tabata Mawenzi jijini Dar es Salaam jana usiku.
Mdau Hassan Twaha na mkewe, Bi. Haki Ally pamoja na wasindikizaji wakiaga na kuondoka nyumbani kwao Bi. Harusi, Tabata Mawenzi, mara baada ya kumalizika sherehe za harusi hiyo, nyumbani hapo.
No comments:
Post a Comment