TANGAZO


Saturday, April 28, 2012

Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mwantumu Mahiza ahimiza usafi wa jiji



Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,  Mwamtumu Mahiza, akizungumza na
waandishi wa habari, ofisini kwake, Dar es salaam jana, kuhusu hali ya usafi wa jiji, ambayo imekuwa hairidhishi kwamuda mrefu, hali aliyosema kuwa imesababishwa na wananchi kutokana na  kutokuzingatia kanuni, sheria na taratibu za afya na usafi wa mazingira.
(Picha na Philemon Solomon wa FULLSHANGWE)

No comments:

Post a Comment