Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Ali Mohamed
Shein,(katikati) Rais wa mstaafu wa Tanzania Mzee Ali Hassan Mwinyi,(wa
pili kushoto) akimuakilisha, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete,Kadhi
Mkuu wa Zanzibar Sheikh Khamis Haji,na Mufti Mkuu wa Zanzibar
Sheikh Omar Qaabi,pamoja na viongozi wengine wakisoma hitmaya
kumuombea dua Muasisi wa Mapinduzi,na Rais wa Kwanza wa Zanzibar Abeid
Amani Karume, Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar.[Picha na
Ramadhan Othman,Ikulu.]
Baadhi
ya Mabalozi na Wananchi waliohudhuria katika kisomo
cha
dua ya kumuombea marehemu Rais wa Kwanza wa Zanzibar Mzee Abeid
Amani
Karume,huko Ukumbi wa CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar leo.[Picha
na
Ramadhan Othman,Ikulu.]
Baadhi
ya Akina mama wa Mitaa mbali mbali ya Unguja, wakimuombea
Dua marehemu Mzee Abeid Amani Karume,huko Ukumbi wa CCM
Kisiwandui Mjini Zanzibar leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein,a kiweka Shada la mauwa katika kaburi la Muasisi wa Mapinduzi ya Zanzibar Mzee Abeid Amani Karume leo viwanja vya CCM Kisiwandui mjini Unguja.
Viongozi
wa Kitaifa wakimuombea dua Rais wa kwanza wa Zanzibar
Marehemu Mzee Abeid Amani Karume,katika kaburi alipozikwa kiongozi
huyo huko Viwanja vya CCM KIsiwandui Mjini Zanzibar leo asubuhi.
No comments:
Post a Comment