Katibu tawala mkoa wa Singida,Liana Hassan,akizungumza kwenye hafla ya
kukabidhi zawadi zilizotolewa na rais Jakaya Kikwete,kwa wakazi wa kambi ya
Sukamahela,wilayani Manyoni juzi.Kushoto ni mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya
ya Manyoni,Fotunata Malya na anayefuata,ni mke wa Ras,Liana Hassani. (Picha zote na Nathaniel Limu)
Katibu tawala mkoa wa Singida,(kulia) akikabidhi mbuzi watatu wakiwa
ni zawadi kutoka kwa rais Kikwete kwa wazee wasiojiweza wa kambi ya Sukamahela
wilayani Manyoni jana.
Katibu Tawala mkoa wa Singida,Liana Hassan (kulia) akikabidhi dumu la
mafuta ya alizeti moja ya zawadi zilizotolewa na Rais Kikwete kwa wakazi wa
kambi ya wazee ya Sukamahela.
Katibu tawala mkoa wa Singida, Liana Hassan,(kulia) akimvisha shati mmoja wa wakazi wa kambi ya
wazee ya Sukamahela.
No comments:
Post a Comment