TANGAZO


Wednesday, March 28, 2012

Waziri Mkuu Pinda, azindua matokeo ya utafiti wa kuboresha ufugaji wa kuku wa asili

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akipiga fimbo mfano wa umbo la  yai  ikiwa ni ishara ya kuzindua matokeo ya utafiti wa kuboresha ufugaji wa kuku wa asili katika hafla iliyofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee leo jijini Dares Salaam. (Picha zote na Magreth Kinabo - Maelezo)



Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiangalia  chanjo  dhidi ya magonjwa ya mdodo na kideri  huku akipata maelezo kutoka kwa , Dk. Gabriel Shirima  wa Maabara Kuu ya  Mifugo ya Temeke  kuzindua matokeo ya utafiti wa kuboresha ufugaji wa kuku wa asili katika hafla iliyofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee leo jijini Dares Salaam.


Waziri Mkuu Mizengo Pinda akifurahia ubunifu wa mfano wa  umbo la mfano wa  yai  ikiwa ni ishara ya kuzindua matokeo ya utafiti wa kuboresha ufugaji wa kuku wa asili katika hafla iliyofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee leo jijini Dares Salaam.


Waziri Mkuu Mizengo Pinda akipata maelezo ya ufugaji kuku wa asili kutoka kwa  mfugaji , Godfrey Mwaipopo mkazi wa  Kibaha wakati wa uzinduzi wa  matokeo ya utafiti wa kuboresha ufugaji wa kuku wa asili katika hafla iliyofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee leo jijini Dares Salaam.



Baadhi ya  wadau wa uzinduzi wa  matokeo ya utafiti wa kuboresha ufugaji wa kuku wa asili katika hafla iliyofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee leo jijini Dares Salaam.


Waziri Mkuu Mizengo Pinda akifafanua jambo  katika picha ya pamoja na wadau wa uzinduzi wa  matokeo ya utafiti wa kuboresha ufugaji wa kuku wa asili katika hafla iliyofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee leo jijini Dares Salaam.

No comments:

Post a Comment