TANGAZO


Wednesday, March 28, 2012

Rais Kiwete afungua Warsha ya Utafiti wa kuondoa Umasikini

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimsikiliza  Katibu Mtendaji a Tume ya Mipango Dkt Phillip Mpango  akitoa mada ya ufunguzi wa warsha hiyo ya siku mbili ya REPOA. Wengine toka shoto  Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa REPOA Profesa Esther Mwaikambo na kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa REPOA Profesa Samuel Wangwe na Balozi wa Uholanzi nchini Dkt Ad Koekkoek. (Picha na Ikulu)


Profesa Do Duc Dinh kutoka Vietnam akitoa mada ya jinsi nchi yake ilivyofanikiwa kuondoa umaskini, wakati wa warsha ya siku mbili ya utafiti juu ya mageuzi ya kuondoa umaskini nchini.

 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua warsha ya siku mbili ya mikakati ya kiuchumi ya kuondoa umaskini iliyoandaliwa na REPOA katika hoteli ya White Sands jijini Dar es salaam.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipongezwa kwa hotuba nzuri ya ufunguzi na  Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa REPOA, Profesa Esther Mwaikambo na kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa REPOA Profesa Samuel Wangwe.


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza Katibu Mtendaji a Tume ya Mipango Dk. Phillip Mpango  kwa mada nzuri. Kati yao ni  Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa REPOA, Profesa Esther Mwaikambo na kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa REPOA Profesa Samuel Wangwe na Balozi wa Uholanzi nchini Dk. Ad Koekkoek.






Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Profesa Ibrahim Lipumba baada ya picha ya pamoja na washiriki wa warsha ya siku mbili ya utafiti juu ya mageuzi ya kuondoa umaskini.






Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa REPOA Profesa Esther Mwaikambo, Mkurugenzi Mtendaji wa REPOA Profesa Samuel Wangwe, Balozi wa Uholanzi nchini Dk. Ad Koekkoek, Katibu Mtendaji a Tume ya Mipango Dk. Phillip Mpango na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadick muda mfupi kabla ya kuondoka hoteli ya White Sands, alikofungua warsha ya siku mbili ya Utafiti.

No comments:

Post a Comment