Kinamama wakimshangilia Sioi baada ya msafara wake wa kampeni kuwasili
kijiji cha Ngongongare,Maji ya Chai, jana.
|
Mwanafunzi wa shule ya sekondari Ngongongare, Maji ya Chai, akiwa kwenye dirisha la shule hiyo wakati akifuatilia mkutano wa kampeni uliofanyika katika kijiji hicho jana.
No comments:
Post a Comment