Lucas Laizer ambae ni mkazi wa Dodoma akiishangaa mfano wa hundi ya shilingi milioni 50 aliyokabidhiwa leo ikiwa ni zawadi yake aliyojishindia wakati wa droo ya mwisho ya promosheni ya MZUKA wa Airtel iliyosha hivi karibuni. Airtel imekabidhi mfano wa hundi hiyo mwishoni mwa wiki kwa dhamira ya kujulisha wateja wake tayari mshindi huyo ameshawekewa hela zakekatika akaunti yake
No comments:
Post a Comment