TANGAZO


Thursday, March 22, 2012

Shaba kuyeyushwa nchini sasa

 
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya kuyeyusha shaba Tanzania ya Danformation Tanzania Ltd, Joshua Dalgaard akionesha kipeperushi kinachoonesha madini ya shaba katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu mchango wa kampuni hiyo katika kuinua uchumi wa Taifa pamoja na kuitambulisha kampuni kwa Umma. Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi wa kampuni hiyo, Christopher Msengi. (Picha na Richard Mwaikenda)

Mtendaji Msaidizi wa Kampuni hiyo, Christopher Msengi (kushoto) akifafanua jambo wakati wa mkutano huo. Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa kampuni hiyo, Joshua Dalgaard.

No comments:

Post a Comment